Kwa mujibu wa Shirika la Habari la Kimataifa la Ahlul Bayt (as) - ABNA -, Marasimu za Maombolezo ya kumbukumbu ya kuharibiwa Makaburi ya Maimamu waliozikwa katika ardhi Tukufu ya Baqi' - Madina (Amani iwe juu yao) zilifanyika kwa kuhudhuriwa na kundi la wapenzi na wafuasi wa Ahlul Bayt wa isma na utoharifu (AS) katika Maukib ya "Abis Al-Sha'kiri" katika Mji wa Cologne, Ujerumani.

8 Aprili 2025 - 15:36

Ripoti ya Picha | Mashia nchini Ujerumani wakiomboleza katika kumbukumbu ya kuharibiwa kwa Makaburi ya Maimamu wa al-Baqi (a.s)

Your Comment

You are replying to: .
captcha